Isaya 8:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa sheria na kwa ushuhuda!+ Hakika wataendelea kusema yanayolingana na neno hili+ ambalo halitaona nuru ya mapambazuko.+ Yeremia 13:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mpeni Yehova Mungu wenu utukufu,+ kabla hajaleta giza+ na kabla miguu yenu haijagongana juu ya milima wakati wa jioni.+ Nanyi hakika mtaitumaini nuru,+ naye kwa kweli ataifanya iwe kivuli kizito;+ ataigeuza iwe giza zito.+
20 Kwa sheria na kwa ushuhuda!+ Hakika wataendelea kusema yanayolingana na neno hili+ ambalo halitaona nuru ya mapambazuko.+
16 Mpeni Yehova Mungu wenu utukufu,+ kabla hajaleta giza+ na kabla miguu yenu haijagongana juu ya milima wakati wa jioni.+ Nanyi hakika mtaitumaini nuru,+ naye kwa kweli ataifanya iwe kivuli kizito;+ ataigeuza iwe giza zito.+