Zaburi 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa nini mataifa yamekuwa na fujo+Na vikundi vya mataifa vimeendelea kusema jambo la upuuzi?+ Zaburi 21:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana wamekuelekezea mabaya;+Wametunga mawazo wasiyoweza kutimiza.+ Isaya 8:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Pangeni hila, nayo itavunjwa!+ Semeni neno lolote, nalo halitasimama, kwa maana Mungu yupo pamoja nasi!+
10 Pangeni hila, nayo itavunjwa!+ Semeni neno lolote, nalo halitasimama, kwa maana Mungu yupo pamoja nasi!+