Zaburi 109:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Wazao wake na wakatiliwe mbali.+Katika kizazi kinachofuata jina lao na lifutiliwe mbali.+ Methali 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kumbukumbu la mwadilifu litabarikiwa,+ lakini jina la waovu litaoza.+