4 hivyo ndivyo mfalme wa Ashuru atakavyoliongoza kundi la mateka wa Misri+ na wahamishwa wa Ethiopia, wavulana na wanaume wazee, wakiwa uchi na miguu wazi, na matako yakiwa wazi, uchi wa Misri.+
29Na haya ndiyo maneno ya barua ambayo Yeremia nabii alituma kutoka Yerusalemu kwa mabaki ya wanaume wazee wa watu waliohamishwa na kwa makuhani na kwa manabii na kwa watu wote, ambao Nebukadneza alikuwa amewapeleka uhamishoni kutoka Yerusalemu kwenda Babiloni+