15 Wana-simba wenye manyoya shingoni wananguruma+ juu yake; wametoa sauti zao.+ Nao wakaifanya nchi yake kuwa kitu cha kushangaza. Majiji yake yamewashwa moto, hivi kwamba hakuna mkaaji.+
17 “Israeli ni kondoo wa kundi aliyetawanywa.+ Simba wenyewe ndio wamemtawanya.+ Mara ya kwanza mfalme wa Ashuru amemla,+ na mara hii ya mwisho Nebukadreza mfalme wa Babiloni ameitafuna mifupa yake.+