13 “Tazama! Mimi niko dhidi yako,” asema Yehova wa majeshi,+ “nami nitaliteketeza gari lake la vita katika moshi.+ Na upanga utawameza wana-simba wako wenye manyoya shingoni.+ Nami nitakatilia mbali mawindo yako kutoka duniani, wala haitasikika tena sauti ya wajumbe wako.”+