Yeremia 46:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema, ‘Tazama, ninakaza fikira zangu juu ya Amoni+ kutoka No+ na juu ya Farao na juu ya Misri na juu ya miungu+ yake na juu ya wafalme+ wake, juu ya Farao na juu ya wale wote wanaomtegemea.’+ Ezekieli 30:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nami nitafanya Pathrosi+ kuwa ukiwa na kuwasha moto katika Soani+ na kufanya matendo ya hukumu katika No.+
25 “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, amesema, ‘Tazama, ninakaza fikira zangu juu ya Amoni+ kutoka No+ na juu ya Farao na juu ya Misri na juu ya miungu+ yake na juu ya wafalme+ wake, juu ya Farao na juu ya wale wote wanaomtegemea.’+
14 Nami nitafanya Pathrosi+ kuwa ukiwa na kuwasha moto katika Soani+ na kufanya matendo ya hukumu katika No.+