Isaya 21:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Naye akaita kama simba:+ “Ee Yehova, juu ya mnara wa mlinzi ninasimama sikuzote wakati wa mchana, na kwenye kituo changu cha ulinzi ninasimama kila usiku.+ Isaya 62:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Nimeweka walinzi juu ya kuta zako, Ee Yerusalemu.+ Mchana kutwa na usiku kucha, sikuzote, wasikae kimya.+ “Ninyi mnaomtaja Yehova,+ msinyamaze kimya,+
8 Naye akaita kama simba:+ “Ee Yehova, juu ya mnara wa mlinzi ninasimama sikuzote wakati wa mchana, na kwenye kituo changu cha ulinzi ninasimama kila usiku.+
6 Nimeweka walinzi juu ya kuta zako, Ee Yerusalemu.+ Mchana kutwa na usiku kucha, sikuzote, wasikae kimya.+ “Ninyi mnaomtaja Yehova,+ msinyamaze kimya,+