Zaburi 49:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Tamaa yao ya ndani ni kwamba nyumba zao ziwepo mpaka wakati usio na kipimo,+Maskani zao mpaka kizazi baada ya kizazi.+Wameyaita mashamba yao kwa majina yao.+ Methali 18:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Vitu vyenye thamani vya tajiri ni mji wake wenye nguvu,+ navyo ni kama ukuta wa ulinzi katika mawazo yake.+ Obadia 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ukipafanya mahali pako pawe juu kama tai, au ikiwa kiota chako kingewekwa kati ya nyota, ningekushusha chini kutoka hapo,”+ asema Yehova.
11 Tamaa yao ya ndani ni kwamba nyumba zao ziwepo mpaka wakati usio na kipimo,+Maskani zao mpaka kizazi baada ya kizazi.+Wameyaita mashamba yao kwa majina yao.+
11 Vitu vyenye thamani vya tajiri ni mji wake wenye nguvu,+ navyo ni kama ukuta wa ulinzi katika mawazo yake.+
4 Ukipafanya mahali pako pawe juu kama tai, au ikiwa kiota chako kingewekwa kati ya nyota, ningekushusha chini kutoka hapo,”+ asema Yehova.