13 “Ole wake anayejenga nyumba yake,+ lakini si kwa uadilifu, na vyumba vyake vya juu, lakini si kwa haki, kwa kutumia mwanadamu mwenzake anayetumikia bure, na ambaye hampi malipo yake;+
9 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Ole wake jiji lenye matendo ya kumwaga damu!+ Mimi mwenyewe pia nitalifanya fungu hilo liwe kubwa.+