Kutoka 9:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana kufikia sasa ningalikuwa nimenyoosha mkono wangu nipate kukupiga wewe na watu wako kwa tauni ili ufutiliwe mbali kutoka duniani.+ Hesabu 14:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Acha niwapige kwa tauni na kuwafukuzia mbali, na acha nikufanye wewe kuwa taifa kubwa zaidi na lenye nguvu zaidi kuliko wao.”+ Hesabu 16:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Kisha Musa akamwambia Haruni: “Chukua chetezo utie ndani yake moto kutoka juu ya madhabahu+ na kutia uvumba nawe uende kwenye kusanyiko haraka na kufanya upatanisho kwa ajili yao,+ kwa sababu hasira imetoka usoni pa Yehova.+ Pigo limeanza!” Hesabu 25:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nao waliokufa kutokana na tauni hiyo walijumlika kuwa 24,000.+
15 Kwa maana kufikia sasa ningalikuwa nimenyoosha mkono wangu nipate kukupiga wewe na watu wako kwa tauni ili ufutiliwe mbali kutoka duniani.+
12 Acha niwapige kwa tauni na kuwafukuzia mbali, na acha nikufanye wewe kuwa taifa kubwa zaidi na lenye nguvu zaidi kuliko wao.”+
46 Kisha Musa akamwambia Haruni: “Chukua chetezo utie ndani yake moto kutoka juu ya madhabahu+ na kutia uvumba nawe uende kwenye kusanyiko haraka na kufanya upatanisho kwa ajili yao,+ kwa sababu hasira imetoka usoni pa Yehova.+ Pigo limeanza!”