Kumbukumbu la Torati 28:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Yehova atakupiga kwa kifua kikuu+ na homa kali na mchonyoto na joto la homa na upanga+ na kuunguza+ na ukungu,+ navyo vitakufuatilia mpaka utakapokuwa umeangamia. Kumbukumbu la Torati 32:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Watachoka kutokana na njaa+ na kuliwa na homa kali+Na maangamizi machungu.+Na meno ya wanyama nitatuma juu yao,+Kwa sumu ya watambaazi wa mavumbini.+
22 Yehova atakupiga kwa kifua kikuu+ na homa kali na mchonyoto na joto la homa na upanga+ na kuunguza+ na ukungu,+ navyo vitakufuatilia mpaka utakapokuwa umeangamia.
24 Watachoka kutokana na njaa+ na kuliwa na homa kali+Na maangamizi machungu.+Na meno ya wanyama nitatuma juu yao,+Kwa sumu ya watambaazi wa mavumbini.+