Kutoka 15:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Vikundi vya watu vitasikia,+ vitafadhaika;+Uchungu wa kuzaa+ utawashika wakaaji wa Ufilisti. Hesabu 22:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na Moabu akawaambia wanaume wazee wa Midiani:+ “Sasa hili kutaniko litaramba mazingira yenu yote kama ng’ombe anavyoramba majani ya shambani.” Na Balaki+ mwana wa Sipori alikuwa mfalme wa Moabu wakati huo hasa.
4 Na Moabu akawaambia wanaume wazee wa Midiani:+ “Sasa hili kutaniko litaramba mazingira yenu yote kama ng’ombe anavyoramba majani ya shambani.” Na Balaki+ mwana wa Sipori alikuwa mfalme wa Moabu wakati huo hasa.