22 Kwa maana hata kama watu wako, Ee Israeli, wangekuwa kama chembe za mchanga wa bahari,+ ni mabaki wachache kati yao ndio watakaorudi.+ Maangamizi+ yaliyoamuliwa yatakuwa yakifurika katikati kwa uadilifu,+
7 Nami nitamfanya yeye aliyekuwa akichechemea awe mabaki,+ na yeye aliyekuwa ameondolewa mbali awe taifa lenye uwezo;+ na Yehova atatawala juu yao akiwa mfalme katika Mlima Sayuni, kutoka sasa na kuendelea mpaka wakati usio na kipimo.+