Zaburi 42:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Machozi yangu yamekuwa chakula changu mchana na usiku,+Huku wakiniambia mchana kutwa: “Mungu wako yuko wapi?”+ Maombolezo 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Njia za Sayuni zinaomboleza, kwa sababu hakuna yeyote anayekuja kwenye sherehe.+Malango yake yote yamefanywa ukiwa;+ makuhani wake wanaugua.+Mabikira wake wamepata huzuni, naye mwenyewe ana uchungu.+ Maombolezo 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye hukitendea jeuri kibanda+ chake kama kile kilicho katika bustani.+ Ameiharibu sherehe yake.Yehova amefanya sherehe+ na sabato kusahauliwa katika Sayuni,Naye katika shutuma zake za hasira haheshimu mfalme wala kuhani.+
3 Machozi yangu yamekuwa chakula changu mchana na usiku,+Huku wakiniambia mchana kutwa: “Mungu wako yuko wapi?”+
4 Njia za Sayuni zinaomboleza, kwa sababu hakuna yeyote anayekuja kwenye sherehe.+Malango yake yote yamefanywa ukiwa;+ makuhani wake wanaugua.+Mabikira wake wamepata huzuni, naye mwenyewe ana uchungu.+
6 Naye hukitendea jeuri kibanda+ chake kama kile kilicho katika bustani.+ Ameiharibu sherehe yake.Yehova amefanya sherehe+ na sabato kusahauliwa katika Sayuni,Naye katika shutuma zake za hasira haheshimu mfalme wala kuhani.+