Isaya 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Pigeni mayowe,+ kwa maana siku ya Yehova iko karibu!+ Itakuja kama uporaji kutoka kwa Mweza-Yote.+ 2 Petro 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini siku ya Yehova+ itakuja kama mwizi,+ ambayo katika hiyo mbingu zitapitilia mbali+ kwa kelele ya kuvuma,+ lakini vitu vyake vya msingi vikiwa moto sana vitayeyushwa,+ na dunia+ na kazi zilizo ndani yake zitafunuliwa.+
6 “Pigeni mayowe,+ kwa maana siku ya Yehova iko karibu!+ Itakuja kama uporaji kutoka kwa Mweza-Yote.+
10 Lakini siku ya Yehova+ itakuja kama mwizi,+ ambayo katika hiyo mbingu zitapitilia mbali+ kwa kelele ya kuvuma,+ lakini vitu vyake vya msingi vikiwa moto sana vitayeyushwa,+ na dunia+ na kazi zilizo ndani yake zitafunuliwa.+