14 Takaseni wakati wa kufunga.+ Iteni kusanyiko kuu.+ Kusanyeni pamoja wanaume wazee, wakaaji wote wa nchi, kwenye nyumba ya Yehova Mungu wenu,+ mlilieni Yehova awape msaada.+
16 Kusanyeni watu pamoja. Takaseni kutaniko.+ Kusanyeni wazee. Kusanyeni pamoja watoto na wale wanaonyonya.+ Bwana-arusi na atoke katika chumba chake cha ndani, bibi-arusi naye atoke katika chumba chake cha ndoa.