Yeremia 48:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “‘Na je, kwako Israeli hakuwa tu kitu cha kudhihakiwa?+ Au, je, alipatikana kati ya wezi wa waziwazi?+ Kwa maana ulikuwa ukijitikisa kichwa kila mara uliposema juu yake. Ezekieli 25:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu Moabu+ na Seiri+ wamesema: “Tazama! Nyumba ya Yuda ni kama mataifa mengine yote,”+
27 “‘Na je, kwako Israeli hakuwa tu kitu cha kudhihakiwa?+ Au, je, alipatikana kati ya wezi wa waziwazi?+ Kwa maana ulikuwa ukijitikisa kichwa kila mara uliposema juu yake.
8 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu Moabu+ na Seiri+ wamesema: “Tazama! Nyumba ya Yuda ni kama mataifa mengine yote,”+