Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 20:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 hivyo ndivyo mfalme wa Ashuru atakavyoliongoza kundi la mateka wa Misri+ na wahamishwa wa Ethiopia, wavulana na wanaume wazee, wakiwa uchi na miguu wazi, na matako yakiwa wazi, uchi wa Misri.+

  • Isaya 43:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Kwa maana mimi ni Yehova Mungu wako, Mtakatifu wa Israeli Mwokozi wako.+ Nimetoa Misri kuwa fidia kwa ajili yako,+ Ethiopia+ na Seba badala yako.

  • Ezekieli 30:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na hakika upanga utaingia Misri,+ na maumivu makali yatatukia Ethiopia wakati ambapo mtu ataanguka akiwa ameuawa katika Misri nao kwa kweli wachukue mali yake nayo misingi yake kwa kweli ibomolewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki