4 hivyo ndivyo mfalme wa Ashuru atakavyoliongoza kundi la mateka wa Misri+ na wahamishwa wa Ethiopia, wavulana na wanaume wazee, wakiwa uchi na miguu wazi, na matako yakiwa wazi, uchi wa Misri.+
4 Na hakika upanga utaingia Misri,+ na maumivu makali yatatukia Ethiopia wakati ambapo mtu ataanguka akiwa ameuawa katika Misri nao kwa kweli wachukue mali yake nayo misingi yake kwa kweli ibomolewe.+