Kumbukumbu la Torati 28:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Yehova ataituma laana+ juu yako, kuvurugika+ na kemeo+ katika kila hatua unayochukua unayojaribu kutimiza, mpaka uwe umeharibiwa na kuangamizwa haraka, kwa sababu ya ubaya wa mazoea yako kwa kuwa umeniacha mimi.+ Yoeli 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Wakulima wameona aibu;+ watunza-mizabibu wamepiga mayowe, kwa sababu ya ngano na kwa sababu ya shayiri; kwa maana mavuno ya shamba yameangamizwa.+
20 “Yehova ataituma laana+ juu yako, kuvurugika+ na kemeo+ katika kila hatua unayochukua unayojaribu kutimiza, mpaka uwe umeharibiwa na kuangamizwa haraka, kwa sababu ya ubaya wa mazoea yako kwa kuwa umeniacha mimi.+
11 Wakulima wameona aibu;+ watunza-mizabibu wamepiga mayowe, kwa sababu ya ngano na kwa sababu ya shayiri; kwa maana mavuno ya shamba yameangamizwa.+