1 Mambo ya Nyakati 29:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Ingawa hivyo, mimi ni nani,+ na watu wangu ni nani, hata tuwe na nguvu za kutoa matoleo ya hiari hivi?+ Kwa maana kila kitu hutoka kwako,+ nasi tumekupa kutoka katika mkono wako mwenyewe. Zaburi 24:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Dunia na vyote vinavyoijaza ni vya Yehova,+Nchi yenye kuzaa na wale wanaokaa ndani yake.+
14 “Ingawa hivyo, mimi ni nani,+ na watu wangu ni nani, hata tuwe na nguvu za kutoa matoleo ya hiari hivi?+ Kwa maana kila kitu hutoka kwako,+ nasi tumekupa kutoka katika mkono wako mwenyewe.