12 Baadaye Isaka akaanza kupanda mbegu katika nchi hiyo,+ na mwaka huo alikuwa akipata kufikia vipimo mia moja kwa kimoja,+ kwa kuwa Yehova alikuwa anambariki.+
12 ‘Kwa maana kutakuwa na mbegu ya amani;+ mzabibu utazaa matunda yake,+ na dunia itatoa mazao yake,+ na mbingu zitatoa umande wake;+ nami nitawafanya mabaki+ ya watu hawa warithi vitu hivyo vyote.+