10 Naye akakikunjua mbele yangu hatua kwa hatua, nacho kilikuwa kimeandikwa mbele na nyuma;+ nacho kilikuwa kimeandikwa nyimbo za huzuni na maombolezo na vilio.+
5Nami nikaona katika mkono wa kuume wa Yule aliyeketi juu ya kile kiti cha ufalme+ kitabu cha kukunjwa kilichoandikwa ndani na upande wa nyuma,+ kimefungwa+ kabisa kwa mihuri saba.