Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 32:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Naye Musa akaanza kuutuliza uso wa Yehova Mungu+ wake na kusema: “Kwa nini, Ee Yehova, hasira+ yako iwake juu ya watu wako ambao uliwatoa katika nchi ya Misri kwa nguvu kuu na kwa mkono wenye nguvu?

  • 1 Samweli 13:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 basi nikasema moyoni mwangu,+ ‘Sasa Wafilisti watashuka juu yangu katika Gilgali, nami sijautuliza uso wa Yehova.’ Kwa hiyo nikajilazimisha,+ nikaitoa dhabihu ya kuteketezwa.”

  • 1 Wafalme 13:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo mfalme akajibu na kumwambia yule mtu wa Mungu wa kweli: “Tafadhali, utulize uso wa Yehova Mungu wako, na kusali kwa ajili yangu ili nirudishiwe mkono wangu.”+ Basi yule mtu wa Mungu wa kweli akautuliza+ uso wa Yehova hivi kwamba mkono wa mfalme ukarudishwa kwake, nao ukawa kama pale mwanzoni.+

  • Yeremia 26:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Je, Hezekia mfalme wa Yuda na wale wote wa Yuda walimuua? Je, hakumwogopa Yehova na kuanza kuutuliza uso wa Yehova,+ hivi kwamba Yehova akajuta ule msiba ambao alikuwa ametangaza juu yao?+ Basi sisi tunajifanyia msiba mkubwa juu ya nafsi zetu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki