23 Kuhusu Damasko:+ “Hamathi+ na Arpadi+ wameona aibu, kwa maana wamesikia habari mbaya. Wamebomoka.+ Katika bahari kuna hangaiko; haiwezi kukaa bila machafuko.+
14 Tazama! Mimi ninasimamisha taifa juu yenu,+ Ee nyumba ya Israeli,’ asema Yehova Mungu wa majeshi, ‘nao watawakandamiza ninyi kutoka maingilio ya Hamathi+ mpaka kwenye bonde la mto la Araba.’ ”