4 “Naye atasimama na kuchunga kwa nguvu za Yehova,+ katika ukuu wa jina la Yehova Mungu wake.+ Nao wataendelea kukaa,+ maana sasa atakuwa mkuu mpaka miisho ya dunia.+
7 Nami nililichunga kundi+ lililokusudiwa kuuawa,+ kwa ajili yenu, enyi wenye kuteseka wa kundi.+ Kwa hiyo nikajichukulia fimbo+ mbili. Moja nikaiita Uzuri,+ na ile nyingine nikaiita Muungano,+ nami nikaanza kulichunga kundi.