Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 100:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Jueni kwamba Yehova ni Mungu.+

      Yeye ndiye aliyetufanya, wala si sisi wenyewe.+

      Sisi ni watu wake na kondoo wa malisho yake.+

  • Mika 5:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Naye atasimama na kuchunga kwa nguvu za Yehova,+ katika ukuu wa jina la Yehova Mungu wake.+ Nao wataendelea kukaa,+ maana sasa atakuwa mkuu mpaka miisho ya dunia.+

  • Zekaria 11:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Nami nililichunga kundi+ lililokusudiwa kuuawa,+ kwa ajili yenu, enyi wenye kuteseka wa kundi.+ Kwa hiyo nikajichukulia fimbo+ mbili. Moja nikaiita Uzuri,+ na ile nyingine nikaiita Muungano,+ nami nikaanza kulichunga kundi.

  • Luka 12:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 “Msiogope,+ kundi dogo,+ kwa sababu Baba yenu amekubali kuwapa ninyi ufalme.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki