24 Na hata hivyo upinde wake ulikuwa katika mahali pa kudumu,+ na nguvu za mikono yake zilikuwa zenye kunepa.+ Kwa mikono ya Mwenye Nguvu wa Yakobo,+ hapo ndipo alipo Mchungaji, Jiwe la Israeli.+
2 Naye akakifanya kinywa changu kuwa kama upanga mkali.+ Amenificha katika kivuli+ cha mkono wake.+ Naye hatua kwa hatua akanifanya kuwa mshale ulionolewa. Alinificha katika podo lake.