1 Wafalme 8:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 nao warudiwe na fahamu zao katika nchi ile ambayo wamechukuliwa mateka,+ nao hakika warudi+ na kutoa kwako ombi+ la kutaka kibali katika nchi ya watekaji wao,+ wakisema, ‘Tumetenda dhambi+ na kukosea,+ tumetenda uovu’;+ Yeremia 51:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 “Ninyi mlioponyoka upanga, endeleeni kwenda. Msisimame tuli.+ Mkumbukeni Yehova kutoka mbali,+ Yerusalemu na aingie katika moyo wenu.”+
47 nao warudiwe na fahamu zao katika nchi ile ambayo wamechukuliwa mateka,+ nao hakika warudi+ na kutoa kwako ombi+ la kutaka kibali katika nchi ya watekaji wao,+ wakisema, ‘Tumetenda dhambi+ na kukosea,+ tumetenda uovu’;+
50 “Ninyi mlioponyoka upanga, endeleeni kwenda. Msisimame tuli.+ Mkumbukeni Yehova kutoka mbali,+ Yerusalemu na aingie katika moyo wenu.”+