12Na katika siku hiyo+ hakika wewe utasema: “Nitakushukuru, Ee Yehova, kwa maana ingawa ulinikasirikia, hasira yako ilirudi nyuma mwishowe,+ nawe ukanifariji.+
14 “‘Tazama! Siku zinakuja,’+ asema Yehova, ‘na hakika mimi nitalitimiza neno jema ambalo nimesema,+ kuihusu nyumba ya Israeli+ na kuihusu nyumba ya Yuda.
3 “Yehova asema hivi, ‘Nitarudi Sayuni+ na kukaa katikati ya Yerusalemu; na Yerusalemu+ litaitwa jiji la ukweli,+ na mlima wa Yehova+ wa majeshi, ule mlima mtakatifu.’ ”+