Isaya 11:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na Yehova hakika ataukata ulimi wa bahari ya Misri,+ na kuutikisa mkono wake juu ya Mto+ katika mng’ao wa roho yake. Naye ataupiga katika mito yake saba, naye atawafanya watu watembee wakiwa wamevaa viatu vyao.+
15 Na Yehova hakika ataukata ulimi wa bahari ya Misri,+ na kuutikisa mkono wake juu ya Mto+ katika mng’ao wa roho yake. Naye ataupiga katika mito yake saba, naye atawafanya watu watembee wakiwa wamevaa viatu vyao.+