14 Nao wanaume wazee+ wa Wayahudi wakajenga+ na kufanya maendeleo wakichochewa na unabii wa Hagai+ nabii na Zekaria+ mjukuu wa Ido,+ wakajenga na kuimaliza kutokana na agizo la Mungu wa Israeli+ na kutokana na agizo la Koreshi+ na Dario+ na Artashasta+ mfalme wa Uajemi.
14 Naye Yehova akaiamsha roho+ ya Zerubabeli mwana wa Shealtieli, gavana wa Yuda, na roho ya Yoshua+ mwana wa Yehosadaki kuhani mkuu, na roho ya mabaki yote ya watu; nao wakaanza kuingia na kufanya kazi katika nyumba ya Yehova wa majeshi Mungu wao.+