Methali 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+ Mwadilifu hukimbilia humo na kupewa ulinzi.+ Mika 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana vikundi vyote vya watu vitatembea kila kimoja katika jina la mungu wake;+ bali sisi tutatembea katika jina la Yehova Mungu wetu+ mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+
5 Kwa maana vikundi vyote vya watu vitatembea kila kimoja katika jina la mungu wake;+ bali sisi tutatembea katika jina la Yehova Mungu wetu+ mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+