Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 4:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi palikuwa na mwanamke fulani wa wake za wana+ wa manabii aliyemlilia Elisha, akisema: “Mtumishi wako, mume wangu, amekufa; nawe unajua vema kwamba mtumishi wako aliendelea kumwogopa+ Yehova, na mkopeshaji+ amekuja kuwachukua watoto wangu wawili wawe watumwa wake.”

  • Nehemia 5:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nami nikawaambia: “Sisi wenyewe tumewanunua+ ndugu zetu Wayahudi waliouzwa kwa mataifa, kwa kadiri ya uwezo wetu; je, wakati uleule ninyi mtawauza ndugu zenu,+ na je, wauzwe kwetu?” Ndipo wakanyamaza kimya, wala hawakupata neno lolote la kusema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki