Zaburi 90:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Nao uzuri wa Yehova Mungu wetu na uwe juu yetu,+Na kazi ya mikono yetu uifanye imara juu yetu.+Naam, kazi ya mikono yetu, uifanye imara.+ Zekaria 11:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Nami nililichunga kundi+ lililokusudiwa kuuawa,+ kwa ajili yenu, enyi wenye kuteseka wa kundi.+ Kwa hiyo nikajichukulia fimbo+ mbili. Moja nikaiita Uzuri,+ na ile nyingine nikaiita Muungano,+ nami nikaanza kulichunga kundi.
17 Nao uzuri wa Yehova Mungu wetu na uwe juu yetu,+Na kazi ya mikono yetu uifanye imara juu yetu.+Naam, kazi ya mikono yetu, uifanye imara.+
7 Nami nililichunga kundi+ lililokusudiwa kuuawa,+ kwa ajili yenu, enyi wenye kuteseka wa kundi.+ Kwa hiyo nikajichukulia fimbo+ mbili. Moja nikaiita Uzuri,+ na ile nyingine nikaiita Muungano,+ nami nikaanza kulichunga kundi.