Isaya 14:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Na mtu yeyote atasema nini kwa kuwajibu wajumbe+ wa taifa lile? Kwamba Yehova mwenyewe ameuweka msingi wa Sayuni,+ na kwake wenye kuteseka wa watu wake watapata kimbilio. Sefania 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nami nitaacha wabaki katikati yako watu wanyenyekevu na wa hali ya chini,+ nao watapata kimbilio katika jina la Yehova.+
32 Na mtu yeyote atasema nini kwa kuwajibu wajumbe+ wa taifa lile? Kwamba Yehova mwenyewe ameuweka msingi wa Sayuni,+ na kwake wenye kuteseka wa watu wake watapata kimbilio.
12 Nami nitaacha wabaki katikati yako watu wanyenyekevu na wa hali ya chini,+ nao watapata kimbilio katika jina la Yehova.+