Mathayo 26:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 na kusema: “Mtanipa nini ili nimsaliti kwenu?”+ Wakamwagizia vipande 30 vya fedha.+ Mathayo 27:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ndipo likatimizwa lililosemwa kupitia nabii Yeremia, akisema: “Nao walichukua vile vipande 30 vya fedha,+ ambavyo ni bei juu ya mtu aliyepigwa bei, ambaye baadhi ya wana wa Israeli walimpigia bei,
9 Ndipo likatimizwa lililosemwa kupitia nabii Yeremia, akisema: “Nao walichukua vile vipande 30 vya fedha,+ ambavyo ni bei juu ya mtu aliyepigwa bei, ambaye baadhi ya wana wa Israeli walimpigia bei,