9 Nawe lazima utapanda. Utaingia kama dhoruba.+ Utakuwa kama mawingu ya kuifunika nchi,+ wewe na vikosi vyako vyote na vikundi vingi vya watu pamoja nawe.” ’
2 Nami nitakusanya mataifa yote yalete vita+ juu ya Yerusalemu; na jiji hilo litatekwa+ na nyumba zitanyakuliwa, na wanawake watalalwa kinguvu.+ Na nusu ya jiji itaenda uhamishoni;+ lakini watu watakaobaki,+ hawatakatiliwa mbali kutoka katika jiji hilo.+
14 Hayo, kwa kweli, ni maneno yanayoongozwa+ na roho waovu nayo yanafanya ishara,+ nayo yanakwenda kwa wafalme+ wa dunia nzima inayokaliwa,+ ili kuwakusanya pamoja kwa vita+ vya ile siku kuu+ ya Mungu Mweza-Yote.+