Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wafalme wa dunia wanachukua msimamo wao+

      Nao maofisa wakuu wamejikusanya pamoja kama mtu mmoja+

      Dhidi ya Yehova+ na dhidi ya mtiwa-mafuta wake,+

  • Ezekieli 38:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nawe lazima utapanda. Utaingia kama dhoruba.+ Utakuwa kama mawingu ya kuifunika nchi,+ wewe na vikosi vyako vyote na vikundi vingi vya watu pamoja nawe.” ’

  • Mika 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Na sasa mataifa mengi yatakusanywa juu yako, wale wanaosema, ‘Acheni atiwe uchafu, nayo macho yetu yautazame Sayuni.’+

  • Zekaria 14:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Nami nitakusanya mataifa yote yalete vita+ juu ya Yerusalemu; na jiji hilo litatekwa+ na nyumba zitanyakuliwa, na wanawake watalalwa kinguvu.+ Na nusu ya jiji itaenda uhamishoni;+ lakini watu watakaobaki,+ hawatakatiliwa mbali kutoka katika jiji hilo.+

  • Ufunuo 16:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Hayo, kwa kweli, ni maneno yanayoongozwa+ na roho waovu nayo yanafanya ishara,+ nayo yanakwenda kwa wafalme+ wa dunia nzima inayokaliwa,+ ili kuwakusanya pamoja kwa vita+ vya ile siku kuu+ ya Mungu Mweza-Yote.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki