Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Nanyi mtajilinda kuhusiana na yote hayo ambayo nimewaambia ninyi;+ nanyi msilitaje jina la miungu mingine. Lisisikiwe kinywani mwako.+

  • Kumbukumbu la Torati 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nanyi mtabomoa madhabahu+ zao na kuvunja-vunja nguzo zao takatifu,+ nanyi mtaiteketeza miti yao mitakatifu+ katika moto na kukata sanamu za kuchongwa+ za miungu yao, nanyi mtayaharibu majina yao kutoka mahali hapo.+

  • Isaya 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na miungu isiyo na thamani itapitilia mbali kabisa.+

  • Ezekieli 36:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Nami nitawanyunyizia maji safi, nanyi mtakuwa safi;+ nami nitawasafisha ninyi kutokana na uchafu+ wenu wote na kutokana na sanamu zenu zote za mavi.+

  • Sefania 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Nami nitaunyoosha mkono wangu juu ya Yuda na wakaaji wote wa Yerusalemu,+ nami nitakatilia mbali mabaki ya Baali kutoka mahali hapa,+ jina la makuhani wa miungu ya kigeni pamoja na makuhani,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki