41 Mwana wa binadamu atatuma malaika zake, nao watakusanya kutoka katika ufalme wake vitu vyote ambavyo husababisha kukwazika+ na watu wanaoasi sheria,
46 bwana wa mtumwa huyo atakuja siku ambayo hamtazamii na saa ambayo hajui,+ naye atamwadhibu kwa ukali ulio mkubwa zaidi na kumgawia sehemu pamoja na wale wasio waaminifu.+