Kumbukumbu la Torati 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Sikiliza, Ee Israeli: Yehova Mungu wetu ni Yehova mmoja.+ Malaki 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Je, sisi sote hatuna baba mmoja?+ Je, sisi hatukuumbwa na Mungu mmoja?+ Kwa nini basi tunatendeana kwa hila,+ katika kutia unajisi agano la mababu zetu?+ Wagalatia 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Sasa hakuna mpatanishi mahali ambapo ni mtu mmoja tu anayehusika, lakini Mungu ni mmoja tu.+
10 “Je, sisi sote hatuna baba mmoja?+ Je, sisi hatukuumbwa na Mungu mmoja?+ Kwa nini basi tunatendeana kwa hila,+ katika kutia unajisi agano la mababu zetu?+