31 “Nawe utafanya kinara cha taa cha dhahabu safi. Hicho kinara cha taa kitafanyizwa kwa kazi ya kufua.+ Msingi wake, matawi yake, vikombe vyake, vifundo vyake na maua yake vitatoka kwake.
49 na vinara vya taa,+ vitano upande wa kuume na vitano upande wa kushoto mbele ya kile chumba cha ndani kabisa, vya dhahabu safi,+ na maua+ na taa+ na mikasi ya tambi,+ vyote hivyo vya dhahabu,