Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 25:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “Nawe utafanya kinara cha taa cha dhahabu safi. Hicho kinara cha taa kitafanyizwa kwa kazi ya kufua.+ Msingi wake, matawi yake, vikombe vyake, vifundo vyake na maua yake vitatoka kwake.

  • 1 Wafalme 7:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 na vinara vya taa,+ vitano upande wa kuume na vitano upande wa kushoto mbele ya kile chumba cha ndani kabisa, vya dhahabu safi,+ na maua+ na taa+ na mikasi ya tambi,+ vyote hivyo vya dhahabu,

  • Ufunuo 1:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nami nikageuka ili nione sauti iliyokuwa ikisema nami, na, nilipokuwa nimegeuka, nikaona vinara saba vya taa vya dhahabu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki