Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 21:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Mweza-Yote ana thamani gani, ndipo tumtumikie,+

      Nasi tunajifaidi jinsi gani kwa kuwa tumewasiliana naye?’+

  • Zaburi 73:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Hakika nimeusafisha moyo wangu bure+

      Na kuiosha mikono yangu katika kutokuwa na hatia.+

  • Isaya 58:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “‘Kwa nini tulifunga nawe hukuona,+ tukazitesa nafsi+ zetu nawe ukawa huangalii?’+

      “Kwa kweli ninyi mlikuwa mkipata upendezi katika siku ile ya kufunga kwenu, wakati kulipokuwa na wafanyakazi wenu wote ambao mliendelea kuwalazimisha kwenda kazini.+

  • Sefania 1:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Na itatukia wakati huo kwamba nitapekua Yerusalemu kwa uangalifu kwa kutumia taa,+ nami nitakaza fikira kwa watu wanaoganda juu ya machicha yao,+ wanaosema moyoni mwao, ‘Yehova hatatenda mema, wala hatatenda mabaya.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki