12 Naye akaendelea kusema: “Usinyooshe mkono wako juu ya huyo mvulana wala usimtendee jambo lolote kamwe,+ kwa maana sasa mimi najua kwamba wewe unamwogopa Mungu kwa kuwa hukunizuilia mwana wako, mwana wako wa pekee.”+
31 Ndipo, kwa kweli, kutaniko+ kotekote katika Yudea na Galilaya na Samaria likaingia katika kipindi cha amani, likijengwa; nalo lilipokuwa likitembea katika kumwogopa Yehova+ na katika faraja ya roho takatifu+ likaendelea kuongezeka.
4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe,+ Yehova,+ na kulitukuza jina lako,+ kwa sababu wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”+