Yeremia 31:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 “Kwa maana hili ndilo agano+ nitakalofanya pamoja na nyumba ya Israeli baada ya siku hizo,”+ asema Yehova. “Nitaitia sheria yangu ndani yao,+ nami nitaiandika katika moyo wao.+ Nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+ Yohana 17:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Ninaomba juu yao; ninawaombea hao, siuombei ulimwengu,+ bali ninawaombea wale ambao umenipa; kwa sababu ni wako,
33 “Kwa maana hili ndilo agano+ nitakalofanya pamoja na nyumba ya Israeli baada ya siku hizo,”+ asema Yehova. “Nitaitia sheria yangu ndani yao,+ nami nitaiandika katika moyo wao.+ Nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+
9 Ninaomba juu yao; ninawaombea hao, siuombei ulimwengu,+ bali ninawaombea wale ambao umenipa; kwa sababu ni wako,