Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 81:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Lakini watu wangu hawakuisikiliza sauti yangu;+

      Na Israeli hakuonyesha utayari wowote kunielekea.+

  • Isaya 42:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kwa hiyo Yeye aliendelea kumwaga ghadhabu juu yake, hasira yake, na nguvu za vita.+ Nayo ikaendelea kumteketeza pande zote,+ lakini hakuangalia;+ nayo ikaendelea kuwaka juu yake, lakini akawa haweki lolote moyoni.+

  • Isaya 57:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Ulimhofu na kuanza kumwogopa nani,+ hivi kwamba ukaanza kusema uwongo?+ Lakini wewe hukunikumbuka mimi.+ Hukuweka moyoni mwako jambo lolote.+ Je, mimi sikuwa nikinyamaza kimya na kuficha mambo?+ Kwa hiyo hukuniogopa mimi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki