Yeremia 28:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa habari ya nabii anayetoa unabii wa amani,+ wakati neno la nabii huyo litakapotimia yule nabii ambaye Yehova amemtuma kikweli atajulikana.”+ Ezekieli 33:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na yatakapotimia—tazama! lazima yatatimia+—wao pia watalazimika kujua kwamba nabii alikuwa katikati yao.”+
9 Kwa habari ya nabii anayetoa unabii wa amani,+ wakati neno la nabii huyo litakapotimia yule nabii ambaye Yehova amemtuma kikweli atajulikana.”+
33 Na yatakapotimia—tazama! lazima yatatimia+—wao pia watalazimika kujua kwamba nabii alikuwa katikati yao.”+