Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Leta kabila la Lawi+ karibu, nawe utawasimamisha mbele ya Haruni kuhani, nao watamhudumia.+

  • Hesabu 18:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Nao Walawi wenyewe wataendeleza utumishi wa hema la mkutano, nao ndio wanaopaswa kujibu kwa kosa lao.+ Ni sheria mpaka wakati usio na kipimo katika vizazi vyenu vyote kwamba katikati ya wana wa Israeli hawapaswi kupata urithi.+

  • Ezekieli 44:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “ ‘Nao makuhani Walawi,+ wana wa Sadoki,+ ambao walitunza wajibu wa patakatifu pangu wakati ambapo wana wa Israeli waliondoka wakaenda mbali nami,+ wao wenyewe watanikaribia na kunihudumia, nao watasimama mbele zangu+ na kunitolea mafuta+ na damu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki