Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 10:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 na ili kuwafundisha wana wa Israeli+ masharti yote ambayo Yehova amesema kupitia Musa.”

  • Kumbukumbu la Torati 24:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Jilinde katika pigo la ukoma,+ ujitunze vizuri na kufanya yote ambayo makuhani Walawi watawaagiza ninyi.+ Kama vile nilivyowaamuru, muwe waangalifu kufanya.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na kwa siku nyingi Israeli+ hawakuwa na Mungu wa kweli wala kuhani mwenye kufundisha+ wala Sheria.

  • Nehemia 8:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Wakaendelea kusoma+ kwa sauti katika kitabu hicho, katika sheria ya Mungu wa kweli, nayo ikafafanuliwa, na kuelezwa maana yake; nao wakaendelea kufafanua usomaji huo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki