8 “Jilinde katika pigo la ukoma,+ ujitunze vizuri na kufanya yote ambayo makuhani Walawi watawaagiza ninyi.+ Kama vile nilivyowaamuru, muwe waangalifu kufanya.+
8 Wakaendelea kusoma+ kwa sauti katika kitabu hicho, katika sheria ya Mungu wa kweli, nayo ikafafanuliwa, na kuelezwa maana yake; nao wakaendelea kufafanua usomaji huo.+