Isaya 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nanyi mnaponyoosha mikono yenu,+ mimi huficha macho yangu kutoka kwenu.+ Hata mjapotoa sala nyingi,+ mimi sisikilizi;+ mikono yenu imejaa umwagaji wa damu.+ Isaya 7:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye akasema: “Tafadhali, sikiliza, Ee nyumba ya Daudi. Je, ni jambo dogo kwenu kuwachosha wanadamu, kwamba pia mmchoshe Mungu wangu?+ Isaya 43:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Hukuninunulia kwa pesa yoyote kane tamu;+ wala hukunijaza mimi kwa mafuta ya dhabihu zako.+ Kwa kweli umenilazimisha kutumikia kwa sababu ya dhambi zako; umenichosha kwa makosa yako.+ Yeremia 15:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “‘Wewe mwenyewe umeniacha,’+ asema Yehova. ‘Unaendelea kutembea kwa kurudi nyuma.+ Nami nitaunyoosha mkono wangu juu yako na kukuangamiza.+ Nimechoka kujuta.+
15 Nanyi mnaponyoosha mikono yenu,+ mimi huficha macho yangu kutoka kwenu.+ Hata mjapotoa sala nyingi,+ mimi sisikilizi;+ mikono yenu imejaa umwagaji wa damu.+
13 Naye akasema: “Tafadhali, sikiliza, Ee nyumba ya Daudi. Je, ni jambo dogo kwenu kuwachosha wanadamu, kwamba pia mmchoshe Mungu wangu?+
24 Hukuninunulia kwa pesa yoyote kane tamu;+ wala hukunijaza mimi kwa mafuta ya dhabihu zako.+ Kwa kweli umenilazimisha kutumikia kwa sababu ya dhambi zako; umenichosha kwa makosa yako.+
6 “‘Wewe mwenyewe umeniacha,’+ asema Yehova. ‘Unaendelea kutembea kwa kurudi nyuma.+ Nami nitaunyoosha mkono wangu juu yako na kukuangamiza.+ Nimechoka kujuta.+