Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nanyi mnaponyoosha mikono yenu,+ mimi huficha macho yangu kutoka kwenu.+ Hata mjapotoa sala nyingi,+ mimi sisikilizi;+ mikono yenu imejaa umwagaji wa damu.+

  • Isaya 7:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye akasema: “Tafadhali, sikiliza, Ee nyumba ya Daudi. Je, ni jambo dogo kwenu kuwachosha wanadamu, kwamba pia mmchoshe Mungu wangu?+

  • Isaya 43:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Hukuninunulia kwa pesa yoyote kane tamu;+ wala hukunijaza mimi kwa mafuta ya dhabihu zako.+ Kwa kweli umenilazimisha kutumikia kwa sababu ya dhambi zako; umenichosha kwa makosa yako.+

  • Yeremia 15:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “‘Wewe mwenyewe umeniacha,’+ asema Yehova. ‘Unaendelea kutembea kwa kurudi nyuma.+ Nami nitaunyoosha mkono wangu juu yako na kukuangamiza.+ Nimechoka kujuta.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki