Zaburi 112:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mwovu ataona na hakika atakasirika.+ ש [Shin]Atasaga meno yake na kuyeyuka.+ ת [Taw]Tamaa ya waovu itaangamia.+ Mathayo 8:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 lakini wana wa ufalme+ watatupwa nje katika giza. Nao watalia na kusaga meno yao huko.”+ Mathayo 13:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 nao watawatupa ndani ya tanuru ya moto.+ Humo ndimo watalia na kusaga meno yao.+ Mathayo 24:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 naye atamwadhibu kwa ukali+ mkubwa zaidi na kumgawia sehemu yake pamoja na wanafiki. Huko ndiko atalia na kusaga meno.+ Mathayo 25:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Nanyi mtupeni nje katika giza mtumwa huyo asiyefaa kitu. Huko ndiko atalia na kusaga meno yake.’+
10 Mwovu ataona na hakika atakasirika.+ ש [Shin]Atasaga meno yake na kuyeyuka.+ ת [Taw]Tamaa ya waovu itaangamia.+
51 naye atamwadhibu kwa ukali+ mkubwa zaidi na kumgawia sehemu yake pamoja na wanafiki. Huko ndiko atalia na kusaga meno.+